tangazo la nafasi za kazi

Tangazo la nafasi za kazi

MFAMASIA DARAJA II (MKUFUNZI ) NAFASI 1

MAJUKUMU YA MUOMBAJI

  • kufundisha wanafunzi na watumishi walioko chini yake
  • kuwaelekeza wanafunzi katika maabara ( kuwafunidhsa kwa vitendo)
  • kutunga na kusahihisha mitihani yote ya ndani
  • kusimamia mitihani yote ya ndani na nje
  • kuwasaidia wanafunzi wanapoitaji msaada wa kitaaluma wakati wote
  • na majukumu mengine utakayopewa na msimamizi wako wa kazi

SIFA ZA MWOMBAJI

  • mwombaji awe na shahada ya ufamasia kutoka chuo kinachotambuliwa na serikali
  • mwombaji awe amesajiliwa na Baraza la Famasia Tanzania
  • mwombaji awe mtanzania
  • mwombaji awe mtiifu na mwenye kujituma katika kazi
  • mwombaji awe na uwezo wa kujieleza katika lugha ya Kiswahili na kiingeleza kwa ufasaha
  • mwombaji awe na uwezo wa kufundisha wanafunzi wa ufamasia kwa nadharia na kwa vitendo

PHARAMACEUTICAL TECHNOLOGIST

(MTEKNOLOJIA DAWA NAFASI 1)

MAJUKUMU YA MWOMBAJI

  • kufundisha wanafunzi na watumishi walioko chini yake
  • kuwaelekeza wanafunzi katika maabara ( kuwafunidhsa kwa vitendo)
  • kutunga na kusahihisha mitihani yote ya ndani
  • kusimamia mitihani yote ya ndani na nje
  • kuwasaidia wanafunzi wanapoitaji msaada wa kitaaluma wakati wote
  • na majukumu mengine utakayopewa na msimamizi wako wa kazi

SIFA ZA MWOMBAJI

  • Awe mahiri aktika kufundisha Compounding
  • Awe na GPA ya 3.5 na kuendelea
  • mwombaji awe amesajiliwa na Baraza la Famasia Tanzania
  • mwombaji awe mtanzania
  • mwombaji awe mtiifu na mwenye kujituma katika kazi
  • mwombaji awe na uwezo wa kujieleza katika lugha ya Kiswahili na kiingeleza kwa ufasaha
  • mwombaji awe na uwezo wa kufundisha wanafunzi wa ufamasia kwa nadharia na kwa vitendo

 

NAMNA YA KUTUMA MAOMBI

  • TUMA MAOMBI YAKO SASA KWA KUPITIA BARUA PEPE: info@kchs.ac.tz

KWENDA KWA, MKUU WA CHUO, CHUO CHA SAYANSI ZA AFYA KOLANDOTO S.L.P 16 KOLANDOTO, SHINYANGA TANZANIA

MWISHO WA KUTUMA MAOMBI NI TAREHE: 28/01/2022